Star Tv

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri.

Mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri ni pamoja uteuzi mpya wa mawaziri watatu kwa kutengua waliokuwepo pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Profesa Adelardus Kilangi.

Miongoni mwa sura mpya katika baraza hilo la mawaziri, ni mbunge aliyemteua siku chache zilizopita Dokta Stergomena Tax ambaye amemteua kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa nchini Tanzania.

Wizara zilizokutana na mabadiliko hayo, ni Wizara ya Habari kuondolewa, kutoka katika Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na sasa itakuwa katika Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.

Rais Samia pia amemteua Dokta Eliezer Feleshi kuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali, kuchukua nafasi ya Profesa Adelardus Kilangi aliyeteuliwa kuwa balozi.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.