Star Tv

Wanafunzi sita wa sekondari nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wamepigwa marufuku kuhudhuria shule yeyote katika taifa hilo baada ya video ya ngono waliyoshiriki kusambaa mtandaoni.

Wanafunzi hao walifukuzwa shule na waziri wa elimu Tony Mwaba.

Video hiyo ilipigwa picha nje ya shule yao iliyopo mjini Kinshasa, lakini ikiwaonesha wamevaa sare za shule.

Shule tano za wavulana na moja ya wasichana zilionekana kwenye video hiyo.

Waziri wa haki za binadamu bwana Albert-Fabrice Puela amesema marufuku hiyo inaminya haki za watoto.

#ChanzoBBCSwahili

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.