Star Tv

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson anatarajia kulihutubia Bunge huko Westminster siku ya Jumatatu.

Boris Johnson  mbali na kulihutubia bunge anatarajiwa kutangaza hatua pamoja na masharti mapya ya kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona.

Kupitia barua kwa Wabunge wa Uingereza iliyoandikwa na Mshauri wa Waziri Mkuu Edward Lister imeeleza kuwa;

"Kuongezeka kwa kiwango cha matukio katika maeneo mengine kunamaanisha kuwa kuna uwezekano kwamba maeneo mengine yatakuwa chini ya masharti zaidi”.

Aidha, kulingana na utafiti wa Ofisi ya Takwimu ya Kitaifa ya nchini humo (ONS) iliyotolewa Ijumaa imebainisha kuwa, wastani idadi ya kila siku ya visa vya maambukizi nchini Uingereza iliongezeka maradufu katika wiki moja mwishoni mwa mwezi uliopita.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.