Star Tv

Timu ya Majimaji ya Mjini Songea inakabiliwa na uhaba wa shilingi Milioni 400 ili iweze kukidhi Mashindano ya Ligi kuu.

Hayo yamebainika baada ya mbunge mteule Damas Ndumbaro kuanza kutimiza Ahadi zake za kuwezesha kukuza Michezo katika Mkoa wa Ruvuma.

Mbunge Mteule wa Jimbo la Songea Damas Ndumbaro amesema ili kurudisha heshima ya Michezo Mkoa wa Ruvuma inatakiwa wana Ruvuma wote wasaidiane kwa njia zozote zile ili Majimaji ishinde katika Mechi zilizobaki.

Mwamuzi wa Kimataifa Joseph Mapunda amesema juhudi zinazoonyeshwa na Mbunge wa sasa wa Jimbo la Songea ni Mafanikio ki mchezo kwa Mkoa wa Ruvuma.

Picha na mtandao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.