Star Tv

Na katika mashindano ya mchezo wa Snuka ya Masters 2018 yanayoendelea katika Ukumbi wa Alexandra Palace huko mjini London,Karin Wilson ameweka rakodi ya kwa mara ya kwanza baada ya ushindi dhidi ya Barry Hawkins. Katika mchezo huo uliokuwa wa utulivu na ukimya wa hali ya juu Hawkins alianza vyema mchezo huo kwa alama 131.

kabla ya Wilson kugeuza matokeo ya mchezo na presha kupanda kawenye kambi ya Hawkins. Hali ya mchezo huo ambao fainali yake itafanyika January 21, 2018 iliipanafasi ya kambi ya Hawkins kushinda kwa kuongoza wa alama 121, ikiwa sawa na point 2-1,hali ambayo iligeuka tena na Wilson kuongoza kwa alama 3-2. na hadi mwisho wa mchezo ukimaliza kwa pointi 4-3.

Wilson aliyezaliwa miaka 26,katika mchezo war obo fainali atakutana na bingwa mara mbili wa dunia katika mchezo huo Mark Williams mwenye miaka 58 Alhamis hii hivyo Wilson amedai kuwa anajisikia fahari kukutana na mchezaji huyo.

Picha na mtandao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.