Star Tv

Mbunge wa Mtama kwa Tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM ,Nape Nnauye amesema kwamba haamini kwamba katika masuala ya kuhama chama cha siasa kwa sababau kila chama kina itikadi yake na kwamba,itikadi ni sawa na imani.

Nape ambaye amewahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo alisema endapo kwenye chama chake kutakuwa na mapungufu, atayashughulikia akiwa ndani na sio kuhama chama

Amesema“Chama cha siasa ni ITIKADI, itikadi ni IMANI.Siamini SANA katika kubadili Imani KIENYEJI.Nitashughulikia MAPUNGUFU nikiwa NDANI sio NJE“‬

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.