Star Tv

Mkufunzi wa Everton Sam Allardyce anasema kuwa klabu hiyo imeanza mazungumzo ya kumsajili mshambuliaji wa Arsenal Theo Walcott kwa mkataba wa kudumu.

Allardyce anataka kuimarisha safu yake ya mashambulizi na akasema kuwa Walcott mwenye umri wa miaka 28 atakuwa kiungo muhimu.

''Hatujakubaliana lakini mazungumzo yanaendelea na tuna matumaini ya kumuajiri kwa mkataba wa kudumu'', alisema Allardyce, 63. "Sijipatii matumaini nisije nikashangazwa.

Nitafurahi sana iwapo mtu yeyeote hata iwapo sio Walcott atatia saini kanadarasi.

Allardyce, ambaye tayari amemsajili mshambuliaji Cenk Tosun kutoka Besitkas kwa kitita cha £27m mwezi Januari, amesifu kasi ya Walcott, uzoefu na uwezo wake wa kupiga krosi nzuri kuwa mchango atakaoleta katika klabu yake.

Kwa hisani ya BBC.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.